1 Samweli 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi Daudi akaenda pamoja na watu wake mpaka Keila, akapigana na Wafilisti na kuchukua mifugo yao, lakini akawapiga wao kwa mauaji makubwa; na Daudi akawa mwokozi wa wakaaji wa Keila.+ Zaburi 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+
5 Basi Daudi akaenda pamoja na watu wake mpaka Keila, akapigana na Wafilisti na kuchukua mifugo yao, lakini akawapiga wao kwa mauaji makubwa; na Daudi akawa mwokozi wa wakaaji wa Keila.+
3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+