1 Samweli 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baada ya muda, nabii Gadi+ akamwambia Daudi: “Usiendelee kukaa mahali pasipoweza kufikiwa. Nenda zako, unapaswa kurudi katika nchi ya Yuda.”+ Kwa hiyo Daudi akaenda zake, akaingia katika msitu wa Herethi. 1 Samweli 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya muda wakamletea Daudi habari, wakisema: “Tazama, Wafilisti wanapiga vita juu ya Keila,+ nao wanapora viwanja vya kupuria.”+
5 Baada ya muda, nabii Gadi+ akamwambia Daudi: “Usiendelee kukaa mahali pasipoweza kufikiwa. Nenda zako, unapaswa kurudi katika nchi ya Yuda.”+ Kwa hiyo Daudi akaenda zake, akaingia katika msitu wa Herethi.
23 Baada ya muda wakamletea Daudi habari, wakisema: “Tazama, Wafilisti wanapiga vita juu ya Keila,+ nao wanapora viwanja vya kupuria.”+