Mambo ya Walawi 26:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ndipo mimi nitawafanyia yanayofuata, na katika kutoa adhabu hakika nitaleta juu yenu usumbufu kwa kifua kikuu+ na homa kali, kufanya macho yafifie+ na kuifanya nafsi idhoofike.+ Nanyi mtapanda mbegu yenu bure, kwa maana adui zenu hakika wataila.+ Kumbukumbu la Torati 28:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+ Waamuzi 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Israeli wakawa maskini sana kwa sababu ya Midiani; nao wana wa Israeli wakaanza kumwomba Yehova msaada.+
16 ndipo mimi nitawafanyia yanayofuata, na katika kutoa adhabu hakika nitaleta juu yenu usumbufu kwa kifua kikuu+ na homa kali, kufanya macho yafifie+ na kuifanya nafsi idhoofike.+ Nanyi mtapanda mbegu yenu bure, kwa maana adui zenu hakika wataila.+
33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+
6 Na Israeli wakawa maskini sana kwa sababu ya Midiani; nao wana wa Israeli wakaanza kumwomba Yehova msaada.+