1 Samweli 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya muda Daudi aliambiwa hivi: “Wafilisti wanashambulia Keila,+ nao wanapora nafaka kwenye viwanja vya kupuria.”
23 Baada ya muda Daudi aliambiwa hivi: “Wafilisti wanashambulia Keila,+ nao wanapora nafaka kwenye viwanja vya kupuria.”