29 Wakati mwanadamu atakaposimama ili kukufuatilia na kuitafuta nafsi yako, nafsi ya bwana wangu itakuwa imefungwa katika mfuko wa uzima+ pamoja na Yehova Mungu wako;+ lakini nafsi ya adui zako yeye ataitupa mbali kama kutoka ndani ya tundu la kombeo.+
19 Naye Ahimaazi+ mwana wa Sadoki akasema: “Tafadhali, acha nikimbie, nimpelekee mfalme habari hizi, kwa sababu Yehova amemhukumu ili amweke huru kutoka mkononi mwa adui zake.”+