Zaburi 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Waliendelea kunikabili katika siku ya msiba wangu,+Lakini Yehova akawa kama tegemeo kwa ajili yangu.+ Zaburi 118:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mataifa yote yalinizunguka.+Nami niliendelea kuwazuilia mbali katika jina la Yehova.+ Isaya 50:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ni nani kati yenu anayemwogopa+ Yehova, akiisikiliza sauti ya mtumishi wake,+ ambaye ametembea katika giza+ lenye kudumu na ambaye kwa ajili yake kumekuwa hakuna mwangaza? Na alitegemee jina la Yehova+ na kujitegemeza juu ya Mungu wake.+
18 Waliendelea kunikabili katika siku ya msiba wangu,+Lakini Yehova akawa kama tegemeo kwa ajili yangu.+
10 Ni nani kati yenu anayemwogopa+ Yehova, akiisikiliza sauti ya mtumishi wake,+ ambaye ametembea katika giza+ lenye kudumu na ambaye kwa ajili yake kumekuwa hakuna mwangaza? Na alitegemee jina la Yehova+ na kujitegemeza juu ya Mungu wake.+