Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Waliendelea kunikabili katika siku ya msiba wangu,+

      Lakini Yehova akawa kama tegemeo kwa ajili yangu.+

  • Zaburi 118:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mataifa yote yalinizunguka.+

      Nami niliendelea kuwazuilia mbali katika jina la Yehova.+

  • Isaya 50:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ni nani kati yenu anayemwogopa+ Yehova, akiisikiliza sauti ya mtumishi wake,+ ambaye ametembea katika giza+ lenye kudumu na ambaye kwa ajili yake kumekuwa hakuna mwangaza? Na alitegemee jina la Yehova+ na kujitegemeza juu ya Mungu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki