Zaburi 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye atajitayarishia silaha za kifo;+Mishale yake ataifanya kuwa yenye kuwaka moto.+ Zaburi 77:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mawingu yamemwaga maji kwa kunguruma;+Anga lenye kutanda mawingu limetoa sauti.Pia, mishale yako mwenyewe ilienda huku na huku.+
17 Mawingu yamemwaga maji kwa kunguruma;+Anga lenye kutanda mawingu limetoa sauti.Pia, mishale yako mwenyewe ilienda huku na huku.+