2 Samweli 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akaendelea kuitupa mishale, ili awatawanye;+Umeme, ili awavuruge.+ Ayubu 36:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Amefunika umeme katika mikono yake,Naye huweka amri juu yake dhidi ya mshambuliaji.+ Zaburi 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akaendelea kuitupa mishale yake, ili awatawanye;+Naye akatupa umeme, ili awavuruge.+ Zaburi 144:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Angaza kwa umeme ili upate kuwatawanya;+Itume mishale yako ili upate kuwavuruga.+ Habakuki 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Jua—mwezi—vilisimama tuli,+ kwenye makao yaliyo juu sana.+ Kama nuru mishale yako mwenyewe ikaenda mfululizo.+ Mng’ao wa mkuki wako ukaangaza.+ Zekaria 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Yehova mwenyewe ataonekana juu yao,+ na mshale wake utaenda kama umeme.+ Naye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atapiga baragumu,+ ataenda pamoja na dhoruba za upepo wa kusini.+
11 Jua—mwezi—vilisimama tuli,+ kwenye makao yaliyo juu sana.+ Kama nuru mishale yako mwenyewe ikaenda mfululizo.+ Mng’ao wa mkuki wako ukaangaza.+
14 Na Yehova mwenyewe ataonekana juu yao,+ na mshale wake utaenda kama umeme.+ Naye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atapiga baragumu,+ ataenda pamoja na dhoruba za upepo wa kusini.+