Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye akaendelea kuitupa mishale, ili awatawanye;+

      Umeme, ili awavuruge.+

  • Ayubu 36:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Amefunika umeme katika mikono yake,

      Naye huweka amri juu yake dhidi ya mshambuliaji.+

  • Zaburi 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akaendelea kuitupa mishale yake, ili awatawanye;+

      Naye akatupa umeme, ili awavuruge.+

  • Zaburi 144:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Angaza kwa umeme ili upate kuwatawanya;+

      Itume mishale yako ili upate kuwavuruga.+

  • Habakuki 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Jua—mwezi—vilisimama tuli,+ kwenye makao yaliyo juu sana.+ Kama nuru mishale yako mwenyewe ikaenda mfululizo.+ Mng’ao wa mkuki wako ukaangaza.+

  • Zekaria 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Yehova mwenyewe ataonekana juu yao,+ na mshale wake utaenda kama umeme.+ Naye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atapiga baragumu,+ ataenda pamoja na dhoruba za upepo wa kusini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki