Kumbukumbu la Torati 32:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Nitailewesha mishale yangu kwa damu,+Nao upanga wangu utakula nyama,+Kwa damu ya waliouawa na mateka,Kwa vichwa vya viongozi wa adui.’+ Zaburi 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana utawafanya wageuze migongo yao kwa kukimbia+Kwa nyuzi za upinde wako ambazo unatayarisha dhidi ya nyuso zao.+ Zaburi 45:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mishale yako ni mikali—vikundi vya watu vinaendelea kuanguka chini yako+—Katika moyo wa adui za mfalme.+
42 Nitailewesha mishale yangu kwa damu,+Nao upanga wangu utakula nyama,+Kwa damu ya waliouawa na mateka,Kwa vichwa vya viongozi wa adui.’+
12 Kwa maana utawafanya wageuze migongo yao kwa kukimbia+Kwa nyuzi za upinde wako ambazo unatayarisha dhidi ya nyuso zao.+
5 Mishale yako ni mikali—vikundi vya watu vinaendelea kuanguka chini yako+—Katika moyo wa adui za mfalme.+