5 Na itatukia kwamba watakapopiga pembe ya kondoo-dume, mtakapoisikia sauti ya pembe, watu wote watapaaza kelele kubwa za vita;+ na ukuta wa jiji utaanguka chini,+ kisha watu watapanda, kila mmoja akisonga mbele moja kwa moja.”
3 Enyi wakaaji wote wa nchi yenye kuzaa+ nanyi wakaaji wa dunia, mtaona maono kama wakati ishara inapoinuliwa juu ya milima,+ nanyi mtasikia sauti kama wakati baragumu inapopigwa.+