2“Pigeni baragumu katika Sayuni,+ pigeni kelele za vita+ katika mlima wangu mtakatifu.+ Wakaaji wote wa nchi na wafadhaike;+ kwa maana siku ya Yehova inakuja,+ kwa maana iko karibu!
14 Na Yehova mwenyewe ataonekana juu yao,+ na mshale wake utaenda kama umeme.+ Naye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atapiga baragumu,+ ataenda pamoja na dhoruba za upepo wa kusini.+