21Tangazo juu ya nyika ya bahari:+ Kama kusonga mbele kwa pepo za dhoruba+ upande wa kusini, jambo linakuja kutoka nyikani, kutoka katika nchi yenye kuogopesha.+
15 “Kwa maana, tazama, Yehova anakuja kama moto,+ na magari yake ni kama upepo wa dhoruba,+ ili kulipa hasira yake kwa ghadhabu tupu na kemeo lake kwa miali ya moto.+