Isaya 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tangazo juu ya Babiloni+ ambalo Isaya mwana wa Amozi+ aliona katika maono: Isaya 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hatakaliwa kamwe,+ wala hatakuwa na makao kwa kizazi baada ya kizazi.+ Na hapo Mwarabu hatapiga hema lake, na hakuna wachungaji watakaoruhusu makundi yao kulala hapo. Yeremia 51:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Bahari imekuja juu ya Babiloni. Amefunikwa kwa wingi wa mawimbi yake.+
20 Hatakaliwa kamwe,+ wala hatakuwa na makao kwa kizazi baada ya kizazi.+ Na hapo Mwarabu hatapiga hema lake, na hakuna wachungaji watakaoruhusu makundi yao kulala hapo.