Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wale wote walio wa dunia na wamwogope Yehova.+

      Wote wanaokaa katika nchi yenye kuzaa na wamhofu.+

  • Zaburi 96:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mbele za Yehova. Kwa maana amekuja;+

      Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+

      Ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa+

      Na vikundi vya watu kwa uaminifu.+

  • Methali 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 nikifurahi kwa sababu ya dunia yake yenye kutoa mazao,+ na vitu nilivyopenda sana vilihusiana na wana wa binadamu.+

  • Isaya 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tumepata mimba, tumekuwa na maumivu ya kuzaa;+ ni kana kwamba sisi tumezaa upepo. Hatutimizi wokovu wowote ulio halisi kuhusiana na nchi,+ wala hakuna wakaaji wowote wa nchi yenye kuzaa wanaoanguka katika kuzaliwa.+

  • Maombolezo 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wafalme wa dunia na wakaaji wote wa nchi yenye kuzaa hawakuwa wameamini+

      Kwamba mpinzani na adui wataingia katika malango ya Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki