Zaburi 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wale wote walio wa dunia na wamwogope Yehova.+Wote wanaokaa katika nchi yenye kuzaa na wamhofu.+ Zaburi 96:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mbele za Yehova. Kwa maana amekuja;+Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa+Na vikundi vya watu kwa uaminifu.+ Methali 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 nikifurahi kwa sababu ya dunia yake yenye kutoa mazao,+ na vitu nilivyopenda sana vilihusiana na wana wa binadamu.+ Isaya 26:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tumepata mimba, tumekuwa na maumivu ya kuzaa;+ ni kana kwamba sisi tumezaa upepo. Hatutimizi wokovu wowote ulio halisi kuhusiana na nchi,+ wala hakuna wakaaji wowote wa nchi yenye kuzaa wanaoanguka katika kuzaliwa.+ Maombolezo 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wafalme wa dunia na wakaaji wote wa nchi yenye kuzaa hawakuwa wameamini+Kwamba mpinzani na adui wataingia katika malango ya Yerusalemu.+
13 Mbele za Yehova. Kwa maana amekuja;+Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa+Na vikundi vya watu kwa uaminifu.+
31 nikifurahi kwa sababu ya dunia yake yenye kutoa mazao,+ na vitu nilivyopenda sana vilihusiana na wana wa binadamu.+
18 Tumepata mimba, tumekuwa na maumivu ya kuzaa;+ ni kana kwamba sisi tumezaa upepo. Hatutimizi wokovu wowote ulio halisi kuhusiana na nchi,+ wala hakuna wakaaji wowote wa nchi yenye kuzaa wanaoanguka katika kuzaliwa.+
12 Wafalme wa dunia na wakaaji wote wa nchi yenye kuzaa hawakuwa wameamini+Kwamba mpinzani na adui wataingia katika malango ya Yerusalemu.+