-
Isaya 26:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Tulipata mimba, tulikuwa na maumivu ya kuzaa,
Lakini ni kama tumezaa upepo.
Hatujaleta wokovu nchini,
Na hakuna mtu aliyezaliwa ili aishi nchini.
-