Isaya 26:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tumepata mimba, tumekuwa na maumivu ya kuzaa;+ ni kana kwamba sisi tumezaa upepo. Hatutimizi wokovu wowote ulio halisi kuhusiana na nchi,+ wala hakuna wakaaji wowote wa nchi yenye kuzaa wanaoanguka katika kuzaliwa.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 26:18 w01 3/1 20; ip-1 281-282 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 26:18 Mnara wa Mlinzi,3/1/2001, uku. 20 Unabii wa Isaya 1, kur. 281-282
18 Tumepata mimba, tumekuwa na maumivu ya kuzaa;+ ni kana kwamba sisi tumezaa upepo. Hatutimizi wokovu wowote ulio halisi kuhusiana na nchi,+ wala hakuna wakaaji wowote wa nchi yenye kuzaa wanaoanguka katika kuzaliwa.+