16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+
13Sasa, kwa sababu alijua kabla ya sherehe ya pasaka kwamba saa yake ya kutoka katika ulimwengu huu kwenda kwa Baba ilikuwa imefika,+ Yesu, akiwa amewapenda walio wake mwenyewe waliokuwa ulimwenguni,+ akawapenda mpaka mwisho.