Zaburi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova hunipa thawabu kulingana na uadilifu wangu;+Hunilipa kulingana na usafi wa mikono yangu.+ Zaburi 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeyote asiye na hatia katika mikono yake na aliye safi moyoni,+Ambaye hajaitendea nafsi Yangu kwa ubatili mtupu,+Wala kuapa kwa udanganyifu.+
4 Yeyote asiye na hatia katika mikono yake na aliye safi moyoni,+Ambaye hajaitendea nafsi Yangu kwa ubatili mtupu,+Wala kuapa kwa udanganyifu.+