Kumbukumbu la Torati 2:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Toka Aroeri,+ jiji lililo kando ya ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katika bonde la mto, mpaka Gileadi, hakukuwa na mji wowote uliokuwa juu sana kwetu.+ Yehova Mungu wetu aliitia yote mkononi mwetu. Zaburi 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana kwa msaada wako ninaweza kukimbiza kikundi cha waporaji;+Na kwa msaada wa Mungu wangu ninaweza kuupanda ukuta.+
36 Toka Aroeri,+ jiji lililo kando ya ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katika bonde la mto, mpaka Gileadi, hakukuwa na mji wowote uliokuwa juu sana kwetu.+ Yehova Mungu wetu aliitia yote mkononi mwetu.
29 Kwa maana kwa msaada wako ninaweza kukimbiza kikundi cha waporaji;+Na kwa msaada wa Mungu wangu ninaweza kuupanda ukuta.+