Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+

      Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+

      Naye atawalipa kisasi adui zake+

      Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”

  • Zaburi 18:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Ndiyo sababu nitakusifu wewe kati ya mataifa, Ee Yehova,+

      Nami nitalipigia jina lako muziki.+

  • Zaburi 117:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 117 Msifuni Yehova, enyi mataifa yote;+

      Mtukuzeni, enyi jamii zote.+

  • Waroma 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na kwamba mataifa+ yamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema+ yake. Kama ilivyoandikwa: “Ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitalipigia jina lako muziki.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki