Kumbukumbu la Torati 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+Naye atawalipa kisasi adui zake+Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.” Zaburi 18:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Ndiyo sababu nitakusifu wewe kati ya mataifa, Ee Yehova,+Nami nitalipigia jina lako muziki.+ Zaburi 117:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 117 Msifuni Yehova, enyi mataifa yote;+Mtukuzeni, enyi jamii zote.+ Waroma 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 na kwamba mataifa+ yamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema+ yake. Kama ilivyoandikwa: “Ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitalipigia jina lako muziki.”+
43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+Naye atawalipa kisasi adui zake+Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”
9 na kwamba mataifa+ yamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema+ yake. Kama ilivyoandikwa: “Ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitalipigia jina lako muziki.”+