Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Ndiyo sababu nitakusifu wewe kati ya mataifa, Ee Yehova,+

      Nami nitalipigia jina lako muziki.+

  • Zaburi 113:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 113 Msifuni Yah!+

      Toeni sifa, enyi watumishi wa Yehova,+

      Lisifuni jina la Yehova.+

  • Waroma 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na tena: “Msifuni Yehova, enyi mataifa yote, na vikundi vyote vya watu vimsifu yeye.”+

  • Ufunuo 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+

  • Ufunuo 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki