Zaburi 18:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Ndiyo sababu nitakusifu wewe kati ya mataifa, Ee Yehova,+Nami nitalipigia jina lako muziki.+ Zaburi 113:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 113 Msifuni Yah!+Toeni sifa, enyi watumishi wa Yehova,+Lisifuni jina la Yehova.+ Waroma 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na tena: “Msifuni Yehova, enyi mataifa yote, na vikundi vyote vya watu vimsifu yeye.”+ Ufunuo 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+ Ufunuo 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+
10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+
6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+