16 Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ndiyo majina yao kufuatana na nyua zao na kufuatana na kambi zao zilizozungushiwa kuta:+ wakuu kumi na wawili kulingana na ukoo wao.+
15 Nalo jina la mwanamke Mmidiani aliyepigwa na kuuawa lilikuwa Kozbi binti ya Suri;+ huyo alikuwa kichwa katika ukoo wa nyumba ya upande wa baba yake katika Midiani.+