1 Samweli 17:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Ndipo Daudi akatia mkono wake ndani ya mfuko wake, akachukua jiwe kutoka humo, akalitupa kwa kombeo, hivi kwamba akampiga+ yule Mfilisti katika paji la uso wake, na lile jiwe likapenya ndani ya paji la uso wake, naye akaanguka kifudifudi.+ Zaburi 18:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nawe utanifunga mshipi wa nguvu kwa ajili ya vita;Utawaangusha chini yangu wale wanaoniinukia.+ Zaburi 44:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kupitia wewe tutawasukuma wapinzani wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaosimama dhidi yetu.+ Zaburi 144:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Fadhili zangu zenye upendo na ngome yangu,+Kilele changu salama na Mwokoaji wangu,+Ngao+ yangu na Yeye ambaye nimemkimbilia,+Yule anayevitiisha vikundi vya watu chini yangu.+
49 Ndipo Daudi akatia mkono wake ndani ya mfuko wake, akachukua jiwe kutoka humo, akalitupa kwa kombeo, hivi kwamba akampiga+ yule Mfilisti katika paji la uso wake, na lile jiwe likapenya ndani ya paji la uso wake, naye akaanguka kifudifudi.+
5 Kupitia wewe tutawasukuma wapinzani wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaosimama dhidi yetu.+
2 Fadhili zangu zenye upendo na ngome yangu,+Kilele changu salama na Mwokoaji wangu,+Ngao+ yangu na Yeye ambaye nimemkimbilia,+Yule anayevitiisha vikundi vya watu chini yangu.+