Zaburi 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Alikuwa akituma mkono kutoka juu, alikuwa akinichukua,+Alikuwa akinitoa ndani ya maji makuu.+ Zaburi 144:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Unyooshe mikono yako kutoka katika kilele;+Uniweke huru na kunikomboa kutoka katika maji mengi,+Kutoka kwa mkono wa wageni,+
7 Unyooshe mikono yako kutoka katika kilele;+Uniweke huru na kunikomboa kutoka katika maji mengi,+Kutoka kwa mkono wa wageni,+