Zaburi 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye akaja akiwa amepanda juu ya kerubi, akaja akiwa anaruka,+Naye akaja akiruka juu ya mabawa ya roho.+ Waebrania 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia, kuwahusu malaika yeye anasema: “Naye anawafanya malaika zake kuwa roho, na watumishi wake wa watu wote kuwa mwali wa moto.”+
10 Naye akaja akiwa amepanda juu ya kerubi, akaja akiwa anaruka,+Naye akaja akiruka juu ya mabawa ya roho.+
7 Pia, kuwahusu malaika yeye anasema: “Naye anawafanya malaika zake kuwa roho, na watumishi wake wa watu wote kuwa mwali wa moto.”+