Ayubu 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakati alipoangaza taa yake juu ya kichwa changu,Nilipotembea katikati ya giza kwa nuru yake;+ Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+ Isaya 60:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana kwako wewe jua halitakuwa tena nuru wakati wa mchana, na mwezi hautakupa tena mwangaza kuwa nuru. Na Yehova atakuwa kwako nuru+ inayodumu mpaka wakati usio na kipimo, na Mungu wako kuwa urembo wako.+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+
19 Kwa maana kwako wewe jua halitakuwa tena nuru wakati wa mchana, na mwezi hautakupa tena mwangaza kuwa nuru. Na Yehova atakuwa kwako nuru+ inayodumu mpaka wakati usio na kipimo, na Mungu wako kuwa urembo wako.+