Zaburi 32:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa sababu hiyo kila aliye mshikamanifu atasali kwako+Katika wakati ule tu ambao wewe unaweza kupatikana.+Nayo mafuriko ya maji mengi hayatamgusa.+ Zaburi 124:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo maji yangetufagilia mbali,+Mto wenyewe ungepita juu ya nafsi yetu.+ Maombolezo 3:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Maji yametiririka juu ya kichwa changu.+ Nimesema: “Hakika nitakatiliwa mbali!”+
6 Kwa sababu hiyo kila aliye mshikamanifu atasali kwako+Katika wakati ule tu ambao wewe unaweza kupatikana.+Nayo mafuriko ya maji mengi hayatamgusa.+