Zaburi 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kamba za kifo zilinizunguka;+Mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu pia yaliendelea kuniogopesha.+ Zaburi 69:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nimezama katika matope mengi, mahali ambapo hapana udongo wa kusimama.+Nimeingia katika maji mengi,Na kijito kinachotiririka kimenifagilia mbali.+ Zaburi 88:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Vimenizunguka kama maji mchana kutwa;+Vyote vimenizingira kwa wakati mmoja. Zaburi 124:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo maji yangetufagilia mbali,+Mto wenyewe ungepita juu ya nafsi yetu.+
4 Kamba za kifo zilinizunguka;+Mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu pia yaliendelea kuniogopesha.+
2 Nimezama katika matope mengi, mahali ambapo hapana udongo wa kusimama.+Nimeingia katika maji mengi,Na kijito kinachotiririka kimenifagilia mbali.+