Zaburi 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+ Zaburi 69:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nimezama katika matope mengi, mahali ambapo hapana udongo wa kusimama.+Nimeingia katika maji mengi,Na kijito kinachotiririka kimenifagilia mbali.+
16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+
2 Nimezama katika matope mengi, mahali ambapo hapana udongo wa kusimama.+Nimeingia katika maji mengi,Na kijito kinachotiririka kimenifagilia mbali.+