Zaburi 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana wewe mwenyewe utaiwasha taa yangu, Ee Yehova;+Mungu wangu atafanya giza langu liangaze.+ Zaburi 97:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nuru imemwangazia mwadilifu,+Na shangwe kwa ajili ya walio wanyoofu moyoni.+ Mathayo 13:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Wakati huo waadilifu watang’aa+ kwa uangavu kama jua+ katika ufalme wa Baba yao. Yule aliye na masikio na asikilize.+
28 Kwa maana wewe mwenyewe utaiwasha taa yangu, Ee Yehova;+Mungu wangu atafanya giza langu liangaze.+
43 Wakati huo waadilifu watang’aa+ kwa uangavu kama jua+ katika ufalme wa Baba yao. Yule aliye na masikio na asikilize.+