Zaburi 18:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Mungu wa kweli ndiye Mpaji wa matendo ya kisasi kwangu;+Naye hutiisha vikundi vya watu chini yangu.+ Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Zaburi 144:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Fadhili zangu zenye upendo na ngome yangu,+Kilele changu salama na Mwokoaji wangu,+Ngao+ yangu na Yeye ambaye nimemkimbilia,+Yule anayevitiisha vikundi vya watu chini yangu.+ 1 Wakorintho 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana ni lazima atawale akiwa mfalme mpaka Mungu awe ameweka adui zote chini ya miguu yake.+
47 Mungu wa kweli ndiye Mpaji wa matendo ya kisasi kwangu;+Naye hutiisha vikundi vya watu chini yangu.+
110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+
2 Fadhili zangu zenye upendo na ngome yangu,+Kilele changu salama na Mwokoaji wangu,+Ngao+ yangu na Yeye ambaye nimemkimbilia,+Yule anayevitiisha vikundi vya watu chini yangu.+