2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+
4 “Lakini mimi ni Yehova Mungu wako kuanzia nchi ya Misri,+ wala hukuwa unamjua Mungu mwingine yeyote ila mimi; wala hapakuwa na mwokozi mwingine yeyote ila mimi.+
25 kwake Mungu pekee aliye Mwokozi wetu+ kupitia Yesu Kristo+ Bwana wetu, na kuwe utukufu,+ ukuu, nguvu+ na mamlaka+ kwa umilele wote uliopita+ na sasa na mpaka umilele wote.+ Amina.+