Zaburi 56:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Katika umoja na Mungu,+ nitalisifu neno lake;Katika umoja na Yehova, nitalisifu neno lake.+ Isaya 42:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yehova mwenyewe, kwa ajili ya uadilifu wake,+ amependezwa kuitukuza sheria+ na kuifanya iwe na utukufu. Waebrania 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Vivyo hivyo Mungu, alipokusudia kuwaonyesha kwa wingi zaidi warithi+ wa ile ahadi kule kutobadilika+ kwa shauri lake, aliingilia kati kwa kiapo,
21 Yehova mwenyewe, kwa ajili ya uadilifu wake,+ amependezwa kuitukuza sheria+ na kuifanya iwe na utukufu.
17 Vivyo hivyo Mungu, alipokusudia kuwaonyesha kwa wingi zaidi warithi+ wa ile ahadi kule kutobadilika+ kwa shauri lake, aliingilia kati kwa kiapo,