Zaburi 71:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nitaingia na nguvu kuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu+ Yehova;Nitautangaza uadilifu wako, naam, wako peke yako.+ Waroma 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+
16 Nitaingia na nguvu kuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu+ Yehova;Nitautangaza uadilifu wako, naam, wako peke yako.+
25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+