Isaya 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka;+ lakini kwa habari ya neno la Mungu wetu, litadumu mpaka wakati usio na kipimo.”+ 1 Petro 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 bali neno la Yehova linadumu milele.”+ Basi, hili ndilo “neno,”+ hili ambalo ninyi mmetangaziwa+ kuwa habari njema.
8 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka;+ lakini kwa habari ya neno la Mungu wetu, litadumu mpaka wakati usio na kipimo.”+
25 bali neno la Yehova linadumu milele.”+ Basi, hili ndilo “neno,”+ hili ambalo ninyi mmetangaziwa+ kuwa habari njema.