Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na taa ya Mungu ilikuwa haijazimwa bado, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu+ la Yehova, palipokuwa sanduku la Mungu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+

  • Zaburi 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Na mimi, katika wingi wa fadhili zako zenye upendo+

      Nitaingia katika nyumba yako,+

      Nitainama kulielekea hekalu lako takatifu kwa kukuogopa.+

  • Zaburi 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,

      Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+

  • Danieli 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini mara Danieli alipojua kwamba maandishi hayo yametiwa sahihi, akaingia nyumbani mwake, kisha, huku madirisha yaliyo katika chumba chake cha dari yakiwa yamefunguliwa kwa ajili yake kuelekea Yerusalemu,+ alikuwa akipiga magoti na kusali+ mara tatu kwa siku+ na kutoa sifa mbele za Mungu wake,+ kama vile alivyokuwa akifanya kwa ukawaida kabla ya hayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki