Zaburi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Acheni nirejezee agizo la Yehova;Yeye ameniambia: “Wewe ni mwanangu;+Mimi, leo, nimekuwa baba yako.+ Isaya 42:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Tazama! Mtumishi wangu,+ ambaye ninamshika sana!+ Mchaguliwa wangu,+ ambaye nafsi yangu imemkubali!+ Nimetia roho yangu ndani yake.+ Yeye atawatolea mataifa haki.+ Mathayo 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Kulikuwa pia na sauti+ kutoka mbinguni iliyosema: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa,+ ambaye nimemkubali.”+ Luka 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na sauti ikatoka katika lile wingu,+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu, ambaye amechaguliwa.+ Msikilizeni.”+
7 Acheni nirejezee agizo la Yehova;Yeye ameniambia: “Wewe ni mwanangu;+Mimi, leo, nimekuwa baba yako.+
42 Tazama! Mtumishi wangu,+ ambaye ninamshika sana!+ Mchaguliwa wangu,+ ambaye nafsi yangu imemkubali!+ Nimetia roho yangu ndani yake.+ Yeye atawatolea mataifa haki.+
17 Tazama! Kulikuwa pia na sauti+ kutoka mbinguni iliyosema: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa,+ ambaye nimemkubali.”+
35 Na sauti ikatoka katika lile wingu,+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu, ambaye amechaguliwa.+ Msikilizeni.”+