Mwanzo 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akaendelea kusema: “Tafadhali, mchukue mwana wako, mwana wako wa pekee unayempenda sana,+ Isaka,+ ufunge safari kwenda nchi ya Moria+ na huko umtoe kama toleo la kuteketezwa juu ya mmoja kati ya milima ambao nitakuonyesha.”+ Zaburi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Acheni nirejezee agizo la Yehova;Yeye ameniambia: “Wewe ni mwanangu;+Mimi, leo, nimekuwa baba yako.+ Luka 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na sauti ikatoka katika lile wingu,+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu, ambaye amechaguliwa.+ Msikilizeni.”+
2 Naye akaendelea kusema: “Tafadhali, mchukue mwana wako, mwana wako wa pekee unayempenda sana,+ Isaka,+ ufunge safari kwenda nchi ya Moria+ na huko umtoe kama toleo la kuteketezwa juu ya mmoja kati ya milima ambao nitakuonyesha.”+
7 Acheni nirejezee agizo la Yehova;Yeye ameniambia: “Wewe ni mwanangu;+Mimi, leo, nimekuwa baba yako.+
35 Na sauti ikatoka katika lile wingu,+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu, ambaye amechaguliwa.+ Msikilizeni.”+