Luka 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Mwana wa binadamu alikuja kutafuta na kuokoa kilichopotea.”+ 1 Wakorintho 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vivyo hivyo pia katika Kristo wote watafanywa kuwa hai.+ 1 Timotheo 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lile neno linastahili kukubaliwa kikamilifu, linalosema+ kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni ili kuwaokoa watenda-dhambi.+ Kati ya hao mimi ni wa kwanza kabisa.+ 1 Yohana 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+ 1 Yohana 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa kuongezea, sisi wenyewe tumemwona+ na tunatoa ushahidi+ kwamba Baba amemtuma Mwana wake kuwa Mwokozi wa ulimwengu.+
22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vivyo hivyo pia katika Kristo wote watafanywa kuwa hai.+
15 Lile neno linastahili kukubaliwa kikamilifu, linalosema+ kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni ili kuwaokoa watenda-dhambi.+ Kati ya hao mimi ni wa kwanza kabisa.+
2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+
14 Kwa kuongezea, sisi wenyewe tumemwona+ na tunatoa ushahidi+ kwamba Baba amemtuma Mwana wake kuwa Mwokozi wa ulimwengu.+