Mathayo 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye atazaa mwana, nawe lazima umwite jina lake Yesu,+ kwa maana ataokoa+ watu wake+ kutoka katika dhambi zao.”+ Yohana 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Mungu alimtuma Mwana wake ulimwenguni, si ili auhukumu+ ulimwengu, bali ili ulimwengu uokolewe+ kupitia kwake. Yohana 4:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 nao wakaanza kumwambia yule mwanamke: “Hatuamini tena kwa sababu ya maneno yako; kwa maana sisi wenyewe+ tumesikia nasi tunajua kwamba mtu huyu kwa hakika ndiye mwokozi+ wa ulimwengu.” Yohana 12:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Lakini ikiwa yeyote anasikia maneno yangu na hayashiki, simhukumu; kwa maana nilikuja, si kuuhukumu ulimwengu,+ bali kuuokoa ulimwengu.+ Matendo 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba+ na msamaha wa dhambi.+
21 Yeye atazaa mwana, nawe lazima umwite jina lake Yesu,+ kwa maana ataokoa+ watu wake+ kutoka katika dhambi zao.”+
17 Kwa maana Mungu alimtuma Mwana wake ulimwenguni, si ili auhukumu+ ulimwengu, bali ili ulimwengu uokolewe+ kupitia kwake.
42 nao wakaanza kumwambia yule mwanamke: “Hatuamini tena kwa sababu ya maneno yako; kwa maana sisi wenyewe+ tumesikia nasi tunajua kwamba mtu huyu kwa hakika ndiye mwokozi+ wa ulimwengu.”
47 Lakini ikiwa yeyote anasikia maneno yangu na hayashiki, simhukumu; kwa maana nilikuja, si kuuhukumu ulimwengu,+ bali kuuokoa ulimwengu.+
31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba+ na msamaha wa dhambi.+