Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeye atazaa mwana, nawe lazima umwite jina lake Yesu,+ kwa maana ataokoa+ watu wake+ kutoka katika dhambi zao.”+

  • Yohana 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana Mungu alimtuma Mwana wake ulimwenguni, si ili auhukumu+ ulimwengu, bali ili ulimwengu uokolewe+ kupitia kwake.

  • Yohana 4:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 nao wakaanza kumwambia yule mwanamke: “Hatuamini tena kwa sababu ya maneno yako; kwa maana sisi wenyewe+ tumesikia nasi tunajua kwamba mtu huyu kwa hakika ndiye mwokozi+ wa ulimwengu.”

  • Yohana 12:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Lakini ikiwa yeyote anasikia maneno yangu na hayashiki, simhukumu; kwa maana nilikuja, si kuuhukumu ulimwengu,+ bali kuuokoa ulimwengu.+

  • Matendo 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba+ na msamaha wa dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki