Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akasema: “Limekuwa si jambo dogo kwako kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo na kuwarudisha hata waliolindwa wa Israeli;+ mimi pia nimekutoa uwe nuru ya mataifa,+ ili wokovu wangu ufike katika sehemu ya mwisho ya dunia.”+

  • Mathayo 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeye atazaa mwana, nawe lazima umwite jina lake Yesu,+ kwa maana ataokoa+ watu wake+ kutoka katika dhambi zao.”+

  • Yohana 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu ambaye huondolea mbali dhambi+ ya ulimwengu!+

  • Matendo 13:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kutoka katika uzao+ wa mwanamume huyu kulingana na ahadi yake Mungu ameletea Israeli mwokozi,+ Yesu,

  • 1 Timotheo 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lile neno linastahili kukubaliwa kikamilifu, linalosema+ kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni ili kuwaokoa watenda-dhambi.+ Kati ya hao mimi ni wa kwanza kabisa.+

  • 1 Yohana 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa kuongezea, sisi wenyewe tumemwona+ na tunatoa ushahidi+ kwamba Baba amemtuma Mwana wake kuwa Mwokozi wa ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki