6 Naye akasema: “Limekuwa si jambo dogo kwako kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo na kuwarudisha hata waliolindwa wa Israeli;+ mimi pia nimekutoa uwe nuru ya mataifa,+ ili wokovu wangu ufike katika sehemu ya mwisho ya dunia.”+
15 Lile neno linastahili kukubaliwa kikamilifu, linalosema+ kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni ili kuwaokoa watenda-dhambi.+ Kati ya hao mimi ni wa kwanza kabisa.+