Kumbukumbu la Torati 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye+— Matendo 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa kweli, nafsi yoyote isiyomsikiliza Nabii huyo itaangamizwa kutoka kati ya watu.’+ Waebrania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 sisi tutaponaje+ ikiwa tumepuuza+ wokovu mkuu+ namna hii kwa kuwa ulianza kusemwa kupitia Bwana+ wetu nasi tukathibitishiwa+ na wale waliomsikia,
15 Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye+—
3 sisi tutaponaje+ ikiwa tumepuuza+ wokovu mkuu+ namna hii kwa kuwa ulianza kusemwa kupitia Bwana+ wetu nasi tukathibitishiwa+ na wale waliomsikia,