Mwanzo 32:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha akasema: “Hutaitwa tena Yakobo bali Israeli,+ kwa maana wewe umeshindana+ na Mungu na wanadamu hata ukashinda mwishowe.” 1 Wafalme 18:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi Eliya akachukua mawe kumi na mawili, kulingana na hesabu ya makabila ya wana wa Yakobo, ambaye neno la Yehova lilikuwa limemjia,+ likisema: “Jina lako litakuwa Israeli.”+
28 Kisha akasema: “Hutaitwa tena Yakobo bali Israeli,+ kwa maana wewe umeshindana+ na Mungu na wanadamu hata ukashinda mwishowe.”
31 Basi Eliya akachukua mawe kumi na mawili, kulingana na hesabu ya makabila ya wana wa Yakobo, ambaye neno la Yehova lilikuwa limemjia,+ likisema: “Jina lako litakuwa Israeli.”+