2 Wafalme 17:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mpaka leo wanafuata dini* zao za awali. Hakuna yeyote kati yao anayemwabudu* Yehova, na hakuna yeyote anayefuata maagizo yake, hukumu zake, na Sheria, na amri ambayo Yehova aliwapa wana wa Yakobo, ambaye alibadili jina lake na kumwita Israeli.+
34 Mpaka leo wanafuata dini* zao za awali. Hakuna yeyote kati yao anayemwabudu* Yehova, na hakuna yeyote anayefuata maagizo yake, hukumu zake, na Sheria, na amri ambayo Yehova aliwapa wana wa Yakobo, ambaye alibadili jina lake na kumwita Israeli.+