Mwanzo 32:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha akasema: “Hutaitwa tena Yakobo bali Israeli,+ kwa maana wewe umeshindana+ na Mungu na wanadamu hata ukashinda mwishowe.” Mwanzo 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Mungu akamwambia: “Jina lako ni Yakobo.+ Hutaendelea kuitwa Yakobo, bali utaitwa Israeli.” Naye akaanza kumwita Israeli.+ Isaya 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Sikieni hili, enyi nyumba ya Yakobo, ninyi mnaojiita wenyewe kwa jina la Israeli+ na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,+ ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+ na mnaomtaja Mungu wa Israeli,+ si katika kweli na si katika uadilifu.+
28 Kisha akasema: “Hutaitwa tena Yakobo bali Israeli,+ kwa maana wewe umeshindana+ na Mungu na wanadamu hata ukashinda mwishowe.”
10 Na Mungu akamwambia: “Jina lako ni Yakobo.+ Hutaendelea kuitwa Yakobo, bali utaitwa Israeli.” Naye akaanza kumwita Israeli.+
48 Sikieni hili, enyi nyumba ya Yakobo, ninyi mnaojiita wenyewe kwa jina la Israeli+ na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,+ ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+ na mnaomtaja Mungu wa Israeli,+ si katika kweli na si katika uadilifu.+