Mwanzo 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 akamwambia: “‘Naapa kwa nafsi yangu mwenyewe,’ asema Yehova,+ ‘kwamba kwa sababu ya uhakika wa kwamba wewe umefanya jambo hili nawe hukuzuia mwana wako, mwana wako wa pekee,+ Waebrania 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Mungu alipoitoa ahadi yake kwa Abrahamu,+ kwa kuwa hangeweza kuapa kwa yeyote aliye mkubwa zaidi, aliapa+ kwa nafsi yake mwenyewe,
16 akamwambia: “‘Naapa kwa nafsi yangu mwenyewe,’ asema Yehova,+ ‘kwamba kwa sababu ya uhakika wa kwamba wewe umefanya jambo hili nawe hukuzuia mwana wako, mwana wako wa pekee,+
13 Kwa maana Mungu alipoitoa ahadi yake kwa Abrahamu,+ kwa kuwa hangeweza kuapa kwa yeyote aliye mkubwa zaidi, aliapa+ kwa nafsi yake mwenyewe,