-
Yeremia 44:26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 “Kwa hiyo sikieni neno la Yehova, ninyi nyote watu wa Yuda mnaoishi nchini Misri: ‘“Ninaapa kwa jina langu mwenyewe lililo kuu,” asema Yehova, “kwamba jina langu halitatajwa tena katika kiapo na mtu yeyote wa Yuda+ katika nchi yote ya Misri anayesema, ‘Kwa hakika kama anavyoishi Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!’+
-