Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 48:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Sikieni hili, enyi watu wa nyumba ya Yakobo,

      Ninyi mnaojiita kwa jina la Israeli+

      Na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,*

      Ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+

      Na mnaomwitia Mungu wa Israeli,

      Ingawa si katika kweli na uadilifu.+

       2 Kwa maana wanajiita kwa jina la jiji takatifu+

      Na kutafuta msaada wa Mungu wa Israeli,+

      Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.

  • Yeremia 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Hata wakisema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!”

      Bado wataapa kwa uwongo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki