39 “Nanyi, Ee nyumba ya Israeli, hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Nendeni kila mmoja wenu akazitumikie sanamu zake mwenyewe za mavi.+ Na baadaye ikiwa hamnisikilizi, basi hamtaendelea kulitia unajisi jina langu takatifu kwa zawadi zenu na kwa sanamu zenu za mavi.’+