1 Samweli 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo Sauli akajibadili sura+ na kuvaa mavazi mengine, akaenda, yeye na watu wawili pamoja naye; nao wakafika kwa yule mwanamke usiku.+ Sasa akasema: “Tafadhali, nifanyie uaguzi+ kwa kuwasiliana na pepo, unipandishie yule nitakayemtaja kwako.”
8 Kwa hiyo Sauli akajibadili sura+ na kuvaa mavazi mengine, akaenda, yeye na watu wawili pamoja naye; nao wakafika kwa yule mwanamke usiku.+ Sasa akasema: “Tafadhali, nifanyie uaguzi+ kwa kuwasiliana na pepo, unipandishie yule nitakayemtaja kwako.”